DJ Makena aingia aanza mazoezi baada ya kufokewa na mashabiki

Posted by Jenniffer Sheldon on Tuesday, August 13, 2024

Binti mrembo, DJ Pierra Makena hatimaye ameamua kutii mwito wa mashabiki wake waliokuwa wakimbeza kwa unene wake uliokuwa ukiongezeka kila kuchao.

Habari Nyingine: Tabia 5 za wanawake za kushangaza kanisani

Makena, ambaye ni mama wa mtoto mmoja na aliyewashangaza wengi kwa kufichua kuwa alikuwa akielekea miaka 40 alianza kushambuliwa kwa unene wake.

Habari Nyingine: Kaka yake waziri Fred Matiang’i akataa kazi kubwa ya serikali

Baadhi ya mashabiki walishangaa jinsi Pierra alinenepa haraka, wakikumbuka hapo awali alikuwa na mwili mdogo, alipokuwa akiruka kutoka klabu kimoja hadi nyingine akiwatumbuiza wapenzi wa muziki kwa miziki kupitia kwa taaluma yake kama DJ.

Habari Nyingine: Picha za bintiye Gideon Moi ni thibitisho kwamba ni mrembo kupindukia

TUKO.co.ke imefahamu kuwa Pierra aliamua kujiunga na Gym ili kujiunda upya na kwa ajili ya afya yake. Alikiri kuwa alikuwa ameongeza unene tangu mwaka wa 2015, alipojifungua.

Read ENGLISH VERSION

Una maoni? Una habari ambayo ungependa tuichapishe? Tuma ujumbe kwa mhariri: mwangi.muraguri@tuko.co.ke

Subscribe to watch new videos

Chanzo: TUKO.co.ke

ncG1vNJzZmijmajEorTIpaBnrKWgvG%2BvzmeinmdibIB0gJJmm6NlnZa4prrAZpiippeerm6twKexmmWdlsewsdmiZJuZkZmubsXAZqKunp%2BgsritjKeYZqWRqLWirsikoGegpKK5